ABOUT US



HISTORIA FUPI YA TUCASA
 Chama kilianzishwa lasimi mnamo mwaka wa masomo 2008/2009 kikiwa na jiana la (THISDASO)-ST. JOSEPH [Tanzania Higher Learning Institutions Seventh Day Adventist Students Organization]
Mnamo mwaka  wa masomo 2012/2013, chama kilibadili jina kutoka THISDASO na kua (TUCASA)-ST. JOSEPH [Tanzania Universities & Colleges Adventist Students Association]

MALENGO YA CHAMA
Ø  Kutangaza injili kwa watu ili wamjue Kristo kama ilivyo agizwa katika Mathayo 28:19,20
Ø  Pamoja na hilo , ni kupeleka ujumbe wa malaika watatu upatikanao katika Ufunuo 14:6-12
Ø  Ili kutimiza utume huu, sisi kama WANATUCASA ST. JOSEPH tunafanya yafuatayo:-
1.       Tunasambaza vitabu vya Tumaini kuu na Vijizuu.
2.       Tunaendesha vipidi vya dini chuoni.
3.       Tunafanya effort za hadhara kulingana na kalenda yetu ya mwaka.
4.       Tunajifunza na kuhamasisha madarasa ya kujifunza biblia.
5.       Tunafanya uinjilisiti kwa njia ya mitandao (Internet).
6.       Tunafariji na kutembelea vituo vya watu wasio jiweza, watoto yatima, wazee, wagonjwa na wafugwa magerezani.
7.       Tunamtangaza Mungu kwa njia ya uimbaji.
8.       Tunatoa huduma ya masomo ya afya.

CONTACT US VIA:-
Tel:        0712121195 (Mkuu wa mawasiliano TUCASA)
              0767121195
              0656782957 (Mwenyekiti TUCASA)
              0752042418